BAJAJI 400 kwa waja wazito zitapunguza vifo vya kina mama na watoto!!?? MBONA MKE WA RAIS kikwete hutembeleaV8 landcruser !!!
KERO YA MAJI TOKA uhuru hadi leo na halijapatiwa ufumbuzi wa kudumu UKOSEFU WA MAJI UMEVUNJA NDOA NYINGI na kusababisha mimba zisizo tarajiwa!!!
MADARASA MAWILI KWA WAKATI MMOJA TENA CHINI YA MITI mafanikio katika sekta ya elimu!!!
MH Jk akimpa mtoto pipi
no.comment
NYUMBA YA RAIA WA TANZANIA MPIGA KURA NA MLIPA KODI !!
nimeipenda hii baikeli kuliko bajaji za kubebea wajawazito!!
MGONJWA AKIWAHISWA HOSPITALI NA RAIA WEMA najiuliza hivi nahawa watanzania walichagua mbunge na rais na diwani JE MBUNGE ANATEMBELEA GARI AU BAISKELI!!??
MGONJWA AKIWAHISWA HOSPITALI NA RAIA WEMA najiuliza hivi nahawa watanzania walichagua mbunge na rais na diwani JE MBUNGE ANATEMBELEA GARI AU BAISKELI!!??
BAJAJI KWA WAJA WAZITO!! WABUNGE NA MAWAZIRI V8 prince milioni 280!!??
NIWATOTO WAKITANZANIA wahitimu wa darasa la saba mwaka jana 2010 baada ya kukosa kuchaguliwa kwenda secondary hivi sasa wanauza vitumbua je? FAMILIA ZAO NAZO ZITAUZA VITUMBUA MIAKA IJAYO NA TAIFA LA TANZANIA LINAWATEGEMEA VIJANA KATIKA KULETA MAENDELEO JE? Tanzania itajengwa na wauza vitumbua!!??
MITAALA MIBOVU inayo liangamiza taifa la tanzania huyu nimhitimu wa darasa la saba alikosa nafasi ya kuendelea na masomo ya secondary hivi sasa amejiajiri akiuza MIFAGIO je? kizazi cha huyu kijana kitaishije miaka ijayo NAMCHANGO WAKE KATIKA TAIFA HILILA TANZANIA niupi JE? anauwezo wa kupiga vita umasikini ujinga na maradhi!!??