picture

WELCOME

Monday, May 16, 2011

SIAMINI KAMA IPO SIKU WATANZANIA WATAFAIDI RASILI MALI ZA NCHI YAO YA TANZANIA!!!!!

BAJAJI 400 kwa waja wazito zitapunguza vifo vya kina mama na watoto!!?? MBONA MKE WA RAIS kikwete hutembelea V8 landcruser !!!
KERO YA MAJI TOKA uhuru hadi leo na halijapatiwa ufumbuzi wa kudumu UKOSEFU WA MAJI UMEVUNJA NDOA NYINGI  na kusababisha mimba zisizo tarajiwa!!!





MADARASA MAWILI KWA WAKATI MMOJA TENA CHINI YA MITI  mafanikio katika sekta ya elimu!!!



MH Jk akimpa mtoto pipi

 no.comment



NYUMBA YA RAIA WA TANZANIA MPIGA KURA NA MLIPA KODI !!
 nimeipenda hii baikeli kuliko bajaji za kubebea wajawazito!!






MGONJWA AKIWAHISWA HOSPITALI NA RAIA WEMA  najiuliza hivi nahawa watanzania walichagua mbunge na rais na diwani JE MBUNGE ANATEMBELEA GARI AU BAISKELI!!??
 MGONJWA AKIWAHISWA HOSPITALI NA RAIA WEMA  najiuliza hivi nahawa watanzania walichagua mbunge na rais na diwani JE MBUNGE ANATEMBELEA GARI AU BAISKELI!!??




BAJAJI KWA WAJA WAZITO!! WABUNGE NA MAWAZIRI V8 prince milioni 280!!??




SHIKAMO  marhaba mtoto mzuri chukua pipi Eee!!!

Sunday, May 15, 2011

WALIFELI DARASA LA SABA HIVI SASA WANAUZA VITUMBUA hawa niwatanzania nguvu kazi ya nchi taifa la leo!!!!

NIWATOTO WAKITANZANIA wahitimu wa darasa la saba mwaka jana 2010 baada ya kukosa kuchaguliwa kwenda secondary hivi sasa wanauza vitumbua je? FAMILIA ZAO NAZO ZITAUZA VITUMBUA MIAKA IJAYO NA TAIFA LA TANZANIA LINAWATEGEMEA VIJANA KATIKA KULETA MAENDELEO JE? Tanzania itajengwa na wauza vitumbua!!??

ELIMU INAYO LIANGAMIZA TAIFA katoka shule kabaki nyumbani kuuza mifajio!!!

MITAALA MIBOVU inayo liangamiza taifa la tanzania huyu nimhitimu wa darasa la saba alikosa nafasi ya kuendelea na masomo ya secondary hivi sasa amejiajiri akiuza MIFAGIO je? kizazi cha huyu kijana kitaishije miaka ijayo NAMCHANGO WAKE KATIKA TAIFA HILILA TANZANIA niupi JE? anauwezo wa kupiga vita umasikini ujinga na maradhi!!??

Saturday, May 14, 2011

JE??MUUNGANO UMECHANGIA KIASIGANI KATIKA UMASIKINI WA TANZANIA NA ZANZIBAR??



 JK nyerere na sheikh A.A karume wakisaini mkataba wa muungano.
 



BEBENI WANANGU TUPATE PESA ZA KUNULIA CHAKULA!!








 masai nae akionja joto ya kukosekana kwa maji safi na salama huko ngorongoro!!



JK nyerere na sheikh A.A karume wakisaini mkataba wa muungano.

UMASIKINI TANZANIA SIO LAANA kwasababu laana waweza kutubu na kusamehewa au laana kuondoka mbona UMASIKINI WA WATANZANIA HAUKUWAHI KUISHA WALA KUPUGUA toka 1960!!!

nikama  mama anatoa maagizo kwa watoto wake. WANANGU BEBE MOJA MOJA TUPATE PESA ZA KUNUNULIA UNGA SIMNA KUMBUKA TULILALA NJAA JANA!!

WATANZANIA WAMEKATA TAMAA HUDUMA DUNI MAHOSPITALINI SASA NIMWENDO WAVIKOMBE KILA KONA YA TANZANIA nani hanjanywa NA WALIKUNYWA WALIKUA WAKIUMWA MAGONJWA YAPI ??

 BABU AMBILIKILE MWAISAPILEAKIANDAA VIKOMBE KWAJILI YA WAGONJWA!!




MH SHIMIWA LUKUVI AKIPATA KIKOMBE!! qanaumwanini??




 Afisa huyu wa jeshi la polisi jinalake halikufahamika mara moja hapo AKIKAMATA KIKOMBE!!


HUU SIO MNADA WALA MKUTANO WA SIASA BALI NI foleni iliokua ikielekea LOLIONDO KUKAMATA KIKOMBE!!!
         





MREMA NAE ALIKAMATA KIKOMBE SAMUNGE KWA BABU mwaisapile!!



EZEKIELI MAIGE AKINYWA DAWA KWA BABU loliondo huku akiwana tabasamu la aibu swali ANAUMWA NINI ??




STEVIN WASIRA WAZIRI NA MH NIMRODI MKONO MBUNGE WA MSOMA VIJIJINI WAKINYWA DAWA hawanao walifika LOLIONDO wanaumwa NINI??

Wednesday, February 16, 2011

Tanzania wananchi masikini viongozi matajiri KIONGOZI HUWEZI SEMA NCHI NI MASIKINI NAUNAGUSWA NA UMASIKINI WA WANANCHI WAKO huku wewe ukitumia ndege aina ya Gulfstream 550..yenye thamani ya bilioni zaid ya 40 namawaziri wako wakitumia V8 prince yenye thamani ya milioni 280 kwakila moja bado wabunge mashangingiya landcruisa ya milioni zaidi ya 80 shule mbovu dawahakuna HOSPITALINI umeme taabu DOWANS uchumi hovyo mfumkowabei juu..!!..

MAGARI YA AINA HII V8 PRINCE MOJA LIKIUZWA KWA BEI YA MILIONI 280 magari ya aina hii kwanchi masikini NIDHULUMA NA UNYONYAJI NA UBEBERU UBWANYENYE wanao fanyiwa watu watabaka la chini  kwenye nchi nyingi za kiafrica NAAMINI  MATUMIZI YA MAGARI HAYA YANAEPUKIKA NA FEDHA HIZI ZAKUNUNULIA MAGARI ZINAWEZA KUHAMISHIWA KWENYE MIRADI MINGINE YAMAENDELEO  tena  hata mawaziri wanaweza kusafiriswa kwa basi moja toka dar hadi dodo au kokote waendako kwajili ya shuguli za kiserekali VILEVILE  HATA WABUNGE WANAWEZA KUSAFIRISWA KWAKUTUMIA MABASI nasio kila mbunge anunuliwe gari lake dereva wake mafuta apewe HII NIDHULUMA umasikini wetu mtaji wao viongozi wabadhirifu..!!..
 MAGARI YA AINA HII V8 PRINCE MOJA LIKIUZWA KWA BEI YA MILIONI 280 magari ya aina hii kwanchi masikini NIDHULUMA NA UNYONYAJI NA UBEBERU UBWANYENYE wanao fanyiwa watu watabaka la chini  kwenye nchi nyingi za kiafrica NAAMINI  MATUMIZI YA MAGARI HAYA YANAEPUKIKA NA FEDHA HIZI ZAKUNUNULIA MAGARI ZINAWEZA KUHAMISHIWA KWENYE MIRADI MINGINE YAMAENDELEO  tena  hata mawaziri wanaweza kusafiriswa kwa basi moja toka dar hadi dodo au kokote waendako kwajili ya shuguli za kiserekali VILEVILE  HATA WABUNGE WANAWEZA KUSAFIRISWA KWAKUTUMIA MABASI nasio kila mbunge anunuliwe gari lake dereva wake mafuta apewe HII NIDHULUMA umasikini wetu mtaji wao viongozi wabadhirifu..!!..
 HUWEZI SEMA UNAGUSWA NA UMASIKINI WA watanzania huku ukitumia V8 prince ya milioni 280 za kitanzania na mwingine akitumia ndege ya bilioni 40 ..!!..
 waheshimiwa wakishangaa nyumba zawapiga kura wao kana kwamba nimapango ya fisi NAPATA TAABU KUSEMA VIONGOZI WATANZANIA WANAGUSWANA UMASIKINI wawananchi wao ..!!..
 MAGARI YA AINA HII V8 PRINCE MOJA LIKIUZWA KWA BEI YA MILIONI 280 magari ya aina hii kwanchi masikini NIDHULUMA NA UNYONYAJI NA UBEBERU UBWANYENYE wanao fanyiwa watu watabaka la chini  kwenye nchi nyingi za kiafrica NAAMINI  MATUMIZI YA MAGARI HAYA YANAEPUKIKA NA FEDHA HIZI ZAKUNUNULIA MAGARI ZINAWEZA KUHAMISHIWA KWENYE MIRADI MINGINE YAMAENDELEO  tena  hata mawaziri wanaweza kusafiriswa kwa basi moja toka dar hadi dodo au kokote waendako kwajili ya shuguli za kiserekali VILEVILE  HATA WABUNGE WANAWEZA KUSAFIRISWA KWAKUTUMIA MABASI nasio kila mbunge anunuliwe gari lake dereva wake mafuta apewe HII NIDHULUMA umasikini wetu mtaji wao viongozi wabadhirifu..!!..

UMASIKINI UMEWATAFUNA WAZEE WETU AMBAO NDIO HAZINA YA TAIFA  wengine hufa wakiwa na halimbaya ya kimaisha njaa maradhi umasikini wakutisha makaazi duni hata sehemu ya kulala nimajunia na ngozi.NAUCHUKIA UMASIKINI HUU WAKUPANDIKIZWA na viongozi wasio waaminifu kwa taifa letu la tanzania.!!..


FIKA UJIONEE ndege zinavyo tua na kuondoka maeneo yanayo chimbwa dhahabu na wawekezaji nchini tanzania KISHA UFANANISHE NA WATANZANIA WANAO ISHI MAENEO YANAYO CHIMBWA DHAHABU HII NA wawekezaji najiuliza umasikini wa mtanzania upo wapina ninani chanzo je ipo siku utaodoka kabisa..!!??

Tuesday, February 15, 2011

TANZANIA WATAALAMU wakifanya kazi zao na sio wanasiasa kufanya kazi zakitaalamu TANZANIA itasongambele Leo utasikia MIGOMO YA DALADALA KESHO MIGOMO YA MADAKTARI KESHO KUTWA MIGOMO YA WAHADHIRI MTONDOGOO MIGOMO YA WAFANYAKAZI RELI NA WAFANYAKAZI WAVIWANDANI MARA WATUMISHI WA SEREKALI.kilakukicha WANASIASA wanachafua TAALUMA.!."Mtu asiye makini katika mambo madogo madogo hawezi kuwa makini hata katika mambo makubwa."

 BIASHARA YA KUKUSANYA CHUPA hii niajira tanzania..!!..
BIASHARA YA MKAA NA KUNI ZA KUPIKIA huyu nae amejiajiri hii ndio kazi yake MAISHA HAYANA KANUNI ..!!..
YOTE NJAA KAMA KINAVYO SOMEKA  chombo kilicho beba samaki za huyo mama UMASIKINI haukubaliki ..!!..
FOLENI YA CHAKULA jiulize asilimia %50ya watanzania niwatoto chini ya miaka 18 je ? wote wanakula wanashiba..!!..
UGALI HUU NIMAARUFU SANA MIKOA YA KANDA YA ZIWA  UGALI WAMTAMA NA UDAGA..niwangapi wanakula na kushiba tanzania..!!..
UGALI HUU NIMAARUFU SANA MIKOA YA KANDA YA ZIWA  UGALI WAMTAMA NA UDAGA..niwangapi wanakula na kushiba tanzania..!!..
UGALI HUU NIMAARUFU SANA MIKOA YA KANDA YA ZIWA  UGALI WAMTAMA NA UDAGA..niwangapi wanakula na kushiba tanzania..!!..

BIASHARA NDOGO NDOGO vitadhidi ya umasikini ..!!..
 

MIMI NIMESOMESHWA KWA KILIMO, NAKIHESHIMU SAAANA KILIMO CHA JEMBE.LA MKONO.itakua vipi wakulima wakigoma!!.
MIMI NIMESOMESHWA KWA KILIMO, NAKIHESHIMU SAAANA KILIMO CHA JEMBE.LA MKONO.itakua vipi wakulima wakigoma!!.
MIMI NIMESOMESHWA KWA KILIMO, NAKIHESHIMU SAAANA KILIMO CHA JEMBE.LA MKONO.itakua vipi wakulima wakigoma!!.
NAFURAHIA MAZAO YA mifugo kama nyama maziwa samadi ngozi na pembe lakini sio watanzania wote wanayamapa mazao haya ya mifugo na kuyatumia ipaswavyo kutumika ..!!..
NAFURAHIA MAZAO YA mifugo kama nyama maziwa samadi ngozi na pembe lakini sio watanzania wote wanayamapa mazao haya ya mifugo na kuyatumia ipaswavyo kutumika ..!!..
NAFURAHIA MAZAO YA mifugo kama nyama maziwa samadi ngozi na pembe lakini sio watanzania wote wanayamapa mazao haya ya mifugo na kuyatumia ipaswavyo kutumika ..!!..
NAFURAHIA MAZAO YA mifugo kama nyama maziwa samadi ngozi na pembe lakini sio watanzania wote wanayamapa mazao haya ya mifugo na kuyatumia ipaswavyo kutumika ..!!..
IPTL RICHIMOND SONGAS DOWANS .!!.
"Mtu asiye makini katika mambo madogo madogo hawezi kuwa makini hata katika mambo makubwa."
.NGUZO ZAUMEME shamba lipo mafinga nchini tanzania lakini hivi sasa mtanzania anatakiwa kulipia nguzo moja Tsh zaidi ya milioni moja ili kuweka umeme au kupata nishati ya umeme mita ya umeme zaidi ya laki nne zakitanzania najiuliza umeme nilini hautakua anasa badala yake umeme iweni bidhaa ya kutumika na kila mtu nchini tanzania nirahisi kumiliki kireti za bia sio rahisi kumiliki umeme au elimu bora na huduma nzuri za afya ..!!.."No nation has the right to make decisions for another nation; no people for another people."
Julius Kambarage Nyerere
IPTL RICHIMOND SONGAS DOWANS .!!.
"Mtu asiye makini katika mambo madogo madogo hawezi kuwa makini hata katika mambo makubwa."
.NGUZO ZAUMEME shamba lipo mafinga nchini tanzania lakini hivi sasa mtanzania anatakiwa kulipia nguzo moja Tsh zaidi ya milioni moja ili kuweka umeme au kupata nishati ya umeme mita ya umeme zaidi ya laki nne zakitanzania najiuliza umeme nilini hautakua anasa badala yake umeme iweni bidhaa ya kutumika na kila mtu nchini tanzania nirahisi kumiliki kireti za bia sio rahisi kumiliki umeme au elimu bora na huduma nzuri za afya ..!!.."No nation has the right to make decisions for another nation; no people for another people."
Julius Kambarage Nyerere
IPTL RICHIMOND SONGAS DOWANS .!!.
"Mtu asiye makini katika mambo madogo madogo hawezi kuwa makini hata katika mambo makubwa."
.NGUZO ZAUMEME shamba lipo mafinga nchini tanzania lakini hivi sasa mtanzania anatakiwa kulipia nguzo moja Tsh zaidi ya milioni moja ili kuweka umeme au kupata nishati ya umeme mita ya umeme zaidi ya laki nne zakitanzania najiuliza umeme nilini hautakua anasa badala yake umeme iweni bidhaa ya kutumika na kila mtu nchini tanzania nirahisi kumiliki kireti za bia sio rahisi kumiliki umeme au elimu bora na huduma nzuri za afya ..!!.."No nation has the right to make decisions for another nation; no people for another people."
Julius Kambarage Nyerere
IPTL RICHIMOND SONGAS DOWANS .!!.
"Mtu asiye makini katika mambo madogo madogo hawezi kuwa makini hata katika mambo makubwa."
.NGUZO ZAUMEME shamba lipo mafinga nchini tanzania lakini hivi sasa mtanzania anatakiwa kulipia nguzo moja Tsh zaidi ya milioni moja ili kuweka umeme au kupata nishati ya umeme mita ya umeme zaidi ya laki nne zakitanzania najiuliza umeme nilini hautakua anasa badala yake umeme iweni bidhaa ya kutumika na kila mtu nchini tanzania nirahisi kumiliki kireti za bia sio rahisi kumiliki umeme au elimu bora na huduma nzuri za afya ..!!.."No nation has the right to make decisions for another nation; no people for another people."
Julius Kambarage Nyerere
NILINI NYUMBA ZAAINA HII zitajengwa kama sehemu ya starehe ya mtu na sio makaazi ya watu masikini UMASIKINI WA WATANZANIA UNANI KERA NA KUNIUMIZA moyo wangu Eeemungu nifanye kuwa chombo cha mabadiliko katika nchi yangu ya tanzania NIONDOE UMASIKINI UJINGA NA MARADHI..!!..
WAKAAZI WAMWANZA WALIPO UMBANA NA ADHA YA USAFIRI BAADA YA DALADALA KUGOMA wakidai nauli iongezeke kutoka 250 hadi miatatu 300 kweli tanzania sasa nibalaa kila kona migomo NIISHARA YA KUUKATAA UMASIKINI hata askari wa usalama bara barani hawakuweza kuzuia watu kupanda gari kama hili nililo panda mimi jana baada ya kukosa usafiri jijini mwanza .NAJIULIZA ITAKUWAJE SIKU WAKULIMA WA JEMBE LA MKONO WAKIGOMA KULIMA MASHAMBA YAO NCHI TANZANIA njaa haitaliangamiza taifa hili ikiwa UMEME tu NA MAJI TUMESHINDWA kuyapatia ufumbuzi.!!.                                                                                                                                                WAKAAZI WAMWANZA WALIPO UMBANA NA ADHA YA USAFIRI BAADA YA DALADALA KUGOMA wakidai nauli iongezeke kutoka 250 hadi miatatu 300 kweli tanzania sasa nibalaa kila kona migomo NIISHARA YA KUUKATAA UMASIKINI hata askari wa usalama bara barani hawakuweza kuzuia watu kupanda gari kama hili nililo panda mimi jana baada ya kukosa usafiri jijini mwanza .NAJIULIZA ITAKUWAJE SIKU WAKULIMA WA JEMBE LA MKONO WAKIGOMA KULIMA MASHAMBA YAO NCHI TANZANIA njaa haitaliangamiza taifa hili ikiwa UMEME tu NA MAJI TUMESHINDWA kuyapatia ufumbuzi.!!..