picture

WELCOME

Monday, May 16, 2011

SIAMINI KAMA IPO SIKU WATANZANIA WATAFAIDI RASILI MALI ZA NCHI YAO YA TANZANIA!!!!!

BAJAJI 400 kwa waja wazito zitapunguza vifo vya kina mama na watoto!!?? MBONA MKE WA RAIS kikwete hutembelea V8 landcruser !!!
KERO YA MAJI TOKA uhuru hadi leo na halijapatiwa ufumbuzi wa kudumu UKOSEFU WA MAJI UMEVUNJA NDOA NYINGI  na kusababisha mimba zisizo tarajiwa!!!





MADARASA MAWILI KWA WAKATI MMOJA TENA CHINI YA MITI  mafanikio katika sekta ya elimu!!!



MH Jk akimpa mtoto pipi

 no.comment



NYUMBA YA RAIA WA TANZANIA MPIGA KURA NA MLIPA KODI !!
 nimeipenda hii baikeli kuliko bajaji za kubebea wajawazito!!






MGONJWA AKIWAHISWA HOSPITALI NA RAIA WEMA  najiuliza hivi nahawa watanzania walichagua mbunge na rais na diwani JE MBUNGE ANATEMBELEA GARI AU BAISKELI!!??
 MGONJWA AKIWAHISWA HOSPITALI NA RAIA WEMA  najiuliza hivi nahawa watanzania walichagua mbunge na rais na diwani JE MBUNGE ANATEMBELEA GARI AU BAISKELI!!??




BAJAJI KWA WAJA WAZITO!! WABUNGE NA MAWAZIRI V8 prince milioni 280!!??




SHIKAMO  marhaba mtoto mzuri chukua pipi Eee!!!

Sunday, May 15, 2011

WALIFELI DARASA LA SABA HIVI SASA WANAUZA VITUMBUA hawa niwatanzania nguvu kazi ya nchi taifa la leo!!!!

NIWATOTO WAKITANZANIA wahitimu wa darasa la saba mwaka jana 2010 baada ya kukosa kuchaguliwa kwenda secondary hivi sasa wanauza vitumbua je? FAMILIA ZAO NAZO ZITAUZA VITUMBUA MIAKA IJAYO NA TAIFA LA TANZANIA LINAWATEGEMEA VIJANA KATIKA KULETA MAENDELEO JE? Tanzania itajengwa na wauza vitumbua!!??

ELIMU INAYO LIANGAMIZA TAIFA katoka shule kabaki nyumbani kuuza mifajio!!!

MITAALA MIBOVU inayo liangamiza taifa la tanzania huyu nimhitimu wa darasa la saba alikosa nafasi ya kuendelea na masomo ya secondary hivi sasa amejiajiri akiuza MIFAGIO je? kizazi cha huyu kijana kitaishije miaka ijayo NAMCHANGO WAKE KATIKA TAIFA HILILA TANZANIA niupi JE? anauwezo wa kupiga vita umasikini ujinga na maradhi!!??

Saturday, May 14, 2011

JE??MUUNGANO UMECHANGIA KIASIGANI KATIKA UMASIKINI WA TANZANIA NA ZANZIBAR??



 JK nyerere na sheikh A.A karume wakisaini mkataba wa muungano.
 



BEBENI WANANGU TUPATE PESA ZA KUNULIA CHAKULA!!








 masai nae akionja joto ya kukosekana kwa maji safi na salama huko ngorongoro!!



JK nyerere na sheikh A.A karume wakisaini mkataba wa muungano.

UMASIKINI TANZANIA SIO LAANA kwasababu laana waweza kutubu na kusamehewa au laana kuondoka mbona UMASIKINI WA WATANZANIA HAUKUWAHI KUISHA WALA KUPUGUA toka 1960!!!

nikama  mama anatoa maagizo kwa watoto wake. WANANGU BEBE MOJA MOJA TUPATE PESA ZA KUNUNULIA UNGA SIMNA KUMBUKA TULILALA NJAA JANA!!

WATANZANIA WAMEKATA TAMAA HUDUMA DUNI MAHOSPITALINI SASA NIMWENDO WAVIKOMBE KILA KONA YA TANZANIA nani hanjanywa NA WALIKUNYWA WALIKUA WAKIUMWA MAGONJWA YAPI ??

 BABU AMBILIKILE MWAISAPILEAKIANDAA VIKOMBE KWAJILI YA WAGONJWA!!




MH SHIMIWA LUKUVI AKIPATA KIKOMBE!! qanaumwanini??




 Afisa huyu wa jeshi la polisi jinalake halikufahamika mara moja hapo AKIKAMATA KIKOMBE!!


HUU SIO MNADA WALA MKUTANO WA SIASA BALI NI foleni iliokua ikielekea LOLIONDO KUKAMATA KIKOMBE!!!
         





MREMA NAE ALIKAMATA KIKOMBE SAMUNGE KWA BABU mwaisapile!!



EZEKIELI MAIGE AKINYWA DAWA KWA BABU loliondo huku akiwana tabasamu la aibu swali ANAUMWA NINI ??




STEVIN WASIRA WAZIRI NA MH NIMRODI MKONO MBUNGE WA MSOMA VIJIJINI WAKINYWA DAWA hawanao walifika LOLIONDO wanaumwa NINI??